Swali: Ni vipi mtu anarusha vijiwe kwa niaba ya mtu mwengine? Je, mtu anarusha kijiwe kimoja kwa ajili yake mwenyewe na kijiwe kingine juu ya yule asiyekuweko na kadhalika?
Jibu: Kwanza atarusha vijiwe saba kwa ajili yake mwenyewe. Kisha atarusha vijiwe saba vyengine kwa ajili ya yule anayewamukilisha. Hakuna neno akasimama mahali papo hapo wakati wa kurusha. Kwanza ataanza kurushia vijiwe kile kiguzo kidogo kwa ajili ya nafsi yake na yule anayemuwakilisha. Vivyo hivyo atarusha vijiwe kwa kile kilicho katikati na kile kiguzo kikubwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 18/04/2020
Swali: Ni vipi mtu anarusha vijiwe kwa niaba ya mtu mwengine? Je, mtu anarusha kijiwe kimoja kwa ajili yake mwenyewe na kijiwe kingine juu ya yule asiyekuweko na kadhalika?
Jibu: Kwanza atarusha vijiwe saba kwa ajili yake mwenyewe. Kisha atarusha vijiwe saba vyengine kwa ajili ya yule anayewamukilisha. Hakuna neno akasimama mahali papo hapo wakati wa kurusha. Kwanza ataanza kurushia vijiwe kile kiguzo kidogo kwa ajili ya nafsi yake na yule anayemuwakilisha. Vivyo hivyo atarusha vijiwe kwa kile kilicho katikati na kile kiguzo kikubwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 18/04/2020
https://firqatunnajia.com/urushaji-wa-vijiwe-kwa-anayemuwakiliha-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)