Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya urafiki na ambaye anapuuza swalah?
Jibu: Haijuzu kufanya naye urafiki wala wengineo katika makafiri. Kwa sababu kuacha swalah ni ukafiri mkubwa kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanazuoni ijapo hatokanusha ulazima wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kati ya mtu na shirki na kufuru ni kuacha swalah.”
Ameipokea Muslim katika ”as-Swahiyh” yake.
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Ahadi ilipo kati yetu sisi na wao ni swalah. Hivyo basi, yeyote atakayeiacha basi amekufuru.”
Ameipokea Ahmad, Abu Daawuud, at-Tirmidhiy, an-Nasaa´iy na Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Zipo dalili zingine zinazofahamisha hilo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/260)
- Imechapishwa: 14/08/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya urafiki na ambaye anapuuza swalah?
Jibu: Haijuzu kufanya naye urafiki wala wengineo katika makafiri. Kwa sababu kuacha swalah ni ukafiri mkubwa kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanazuoni ijapo hatokanusha ulazima wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kati ya mtu na shirki na kufuru ni kuacha swalah.”
Ameipokea Muslim katika ”as-Swahiyh” yake.
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Ahadi ilipo kati yetu sisi na wao ni swalah. Hivyo basi, yeyote atakayeiacha basi amekufuru.”
Ameipokea Ahmad, Abu Daawuud, at-Tirmidhiy, an-Nasaa´iy na Ibn Maajah kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Zipo dalili zingine zinazofahamisha hilo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/260)
Imechapishwa: 14/08/2022
https://firqatunnajia.com/urafiki-na-asiyeswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)