Swali: Vipi kuhusu mwisho wa myahudi au mkristo ambaye hakusikia kuhusu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mwisho wake anaachiwa Mola ambaye ni Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kuhusu sisi tunamzingatia kuwa ni kafiri. Kwa hiyo hatutomzika katika makaburi ya waislamu na watamsimamia makafiri wenzake. Kuhusu ataingia Peponi au Motoni anaachiwa Allaah (´Azza wa Jall). Yeye ndiye atasimamia hilo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 26/11/2016
Swali: Vipi kuhusu mwisho wa myahudi au mkristo ambaye hakusikia kuhusu Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mwisho wake anaachiwa Mola ambaye ni Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kuhusu sisi tunamzingatia kuwa ni kafiri. Kwa hiyo hatutomzika katika makaburi ya waislamu na watamsimamia makafiri wenzake. Kuhusu ataingia Peponi au Motoni anaachiwa Allaah (´Azza wa Jall). Yeye ndiye atasimamia hilo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
Imechapishwa: 26/11/2016
https://firqatunnajia.com/upi-mwisho-wa-mkristo-au-myahudi-huyu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)