Swali: Miaka miwili iliyopita mtoto wangu wa kiume alianguka na akapatwa na kovu kwenye paji lake la uso. Kovu hili limekuwa likubwa. Je, inajuzu kufanya upasuaji wa uzuri ili kuondosha kovu hili?
Jibu: Ndio. Aende kwa madaktari na aangalie kama wanaweza kumtunza. Utunzaji ni jambo linalotakikana na zuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali: Miaka miwili iliyopita mtoto wangu wa kiume alianguka na akapatwa na kovu kwenye paji lake la uso. Kovu hili limekuwa likubwa. Je, inajuzu kufanya upasuaji wa uzuri ili kuondosha kovu hili?
Jibu: Ndio. Aende kwa madaktari na aangalie kama wanaweza kumtunza. Utunzaji ni jambo linalotakikana na zuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/upasuaji-wa-uzuri-kwa-ajili-ya-kuondosha-kovu-usoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)