Swali: Ni ipi maana ya uombezi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa ami yake na Allaah (´Azza wa Jall) kumkubalia hilo?
Jibu: Uombezi huu ni maalum. Alimuombea lakini hata hivyo hakumkubalia na ndio maana Allaah akateremsha:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ
“Haimpasi Nabii na wale walioamini kuwaombea msamaha washirikina japokuwa ni jamaa zao wa karibu… “[1]
Hapa ilikuwa ni kabla ya yeye kujua. Kisha baada ya hapo akaacha kumuombea. Amesema:
“Nitakuombea midhali sijakatazwa.”[2]
Alipokataza akaacha kumuombea.
[1] 09:113
[2] al-Bukhaariy (3884) na Muslim (24).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 65-66
- Imechapishwa: 05/07/2019
Swali: Ni ipi maana ya uombezi wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa ami yake na Allaah (´Azza wa Jall) kumkubalia hilo?
Jibu: Uombezi huu ni maalum. Alimuombea lakini hata hivyo hakumkubalia na ndio maana Allaah akateremsha:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ
“Haimpasi Nabii na wale walioamini kuwaombea msamaha washirikina japokuwa ni jamaa zao wa karibu… “[1]
Hapa ilikuwa ni kabla ya yeye kujua. Kisha baada ya hapo akaacha kumuombea. Amesema:
“Nitakuombea midhali sijakatazwa.”[2]
Alipokataza akaacha kumuombea.
[1] 09:113
[2] al-Bukhaariy (3884) na Muslim (24).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 65-66
Imechapishwa: 05/07/2019
https://firqatunnajia.com/uombezi-wa-mtume-%d8%b5%d9%84%d9%89-%d8%a7%d9%84%d9%84%d9%87-%d8%b9%d9%84%d9%8a%d9%87-%d9%88%d8%b3%d9%84%d9%85-kwa-ami-yake-ni-maalum/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)