Swali: Je, inajuzu kumuomba mwanachuoni mpwekeshaji duniani na kumwambia “Allaah akikuruzuku kukupa uombezi huko Aakhirah, basi nishufaie mbele ya Allaah.” Je, inajuzu kufanya hivi?
Jibu: Sijui msingi wa hizi Tawassul za Aakhirah kwa kusema “uniombee Aakhirah”. Badala ya kusema hivo mwombe hivi sasa akuombee. Ni kwa nini una haraka ya Aakhirah? Maadamu ni mtu mwema na wewe una haja ya du´aa, mwache akuombee hivi sasa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (01) http://alfawzan.af.org.sa/node/2104
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Je, inajuzu kumuomba mwanachuoni mpwekeshaji duniani na kumwambia “Allaah akikuruzuku kukupa uombezi huko Aakhirah, basi nishufaie mbele ya Allaah.” Je, inajuzu kufanya hivi?
Jibu: Sijui msingi wa hizi Tawassul za Aakhirah kwa kusema “uniombee Aakhirah”. Badala ya kusema hivo mwombe hivi sasa akuombee. Ni kwa nini una haraka ya Aakhirah? Maadamu ni mtu mwema na wewe una haja ya du´aa, mwache akuombee hivi sasa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (01) http://alfawzan.af.org.sa/node/2104
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/uniombee-mbele-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)