Swali: Katika kitongoji kimoja kuna ukumbi wa swalah wa wanawake ambapo kati yake na msikiti kuna barabara ambayo magari yanapita. Je, wanawake wakamilishe swalah zao ndani yake?
Jibu: Ikiwa kati yake na msikiti kuna barabara basi wanawake wasiswali ndani yake. Wanazuoni wametofautiana juu ya jambo hili. Lakini salama zaidi wanawake wasiswali ndani yake muda wa kuwa ni nje ya msikiti. Wanatakiwa waswali peke yao na wasimfuate imamu. Ni lazima ukumbi huo uwe ndani ya msikiti.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 10/07/2021
Swali: Katika kitongoji kimoja kuna ukumbi wa swalah wa wanawake ambapo kati yake na msikiti kuna barabara ambayo magari yanapita. Je, wanawake wakamilishe swalah zao ndani yake?
Jibu: Ikiwa kati yake na msikiti kuna barabara basi wanawake wasiswali ndani yake. Wanazuoni wametofautiana juu ya jambo hili. Lakini salama zaidi wanawake wasiswali ndani yake muda wa kuwa ni nje ya msikiti. Wanatakiwa waswali peke yao na wasimfuate imamu. Ni lazima ukumbi huo uwe ndani ya msikiti.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 10/07/2021
https://firqatunnajia.com/ukumbi-wa-kuswalia-ambao-kati-yake-na-msikiti-kuna-barabara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)