Swali: Ni kipi bora kwa mtu akiingia msikitini akamkuta imamu anaadhini?
Jibu: Bora kwake amuitikie muadhini kisha baada ya hapo aombe anachokitaka na halafu aswali Tahiyyat-ul-Masjid. Isipokuwa baadhi ya wanachuoni wamevua katika hayo kwa yule mwenye kuingia msikitini na mwadhini anaadhini siku ya ijumaa adhaana ya pili. Katika hali hiyo anatakiwa kuswali Tahiyyat-ul-Masjid ili apate kusikia Khutbah. Sababu wametoa ni kwamba kusikiliza Khutbah ni lazima na kuitikia mwadhini sio lazima. Kuchunga jambo la lazima ndio linalotakikana kuliko kuchunga jambo ambalo si la lazima.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 285
- Imechapishwa: 28/04/2020
Swali: Ni kipi bora kwa mtu akiingia msikitini akamkuta imamu anaadhini?
Jibu: Bora kwake amuitikie muadhini kisha baada ya hapo aombe anachokitaka na halafu aswali Tahiyyat-ul-Masjid. Isipokuwa baadhi ya wanachuoni wamevua katika hayo kwa yule mwenye kuingia msikitini na mwadhini anaadhini siku ya ijumaa adhaana ya pili. Katika hali hiyo anatakiwa kuswali Tahiyyat-ul-Masjid ili apate kusikia Khutbah. Sababu wametoa ni kwamba kusikiliza Khutbah ni lazima na kuitikia mwadhini sio lazima. Kuchunga jambo la lazima ndio linalotakikana kuliko kuchunga jambo ambalo si la lazima.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 285
Imechapishwa: 28/04/2020
https://firqatunnajia.com/ukiingia-msikitini-ukamkuta-imamu-anaadhini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)