Kwa hali yoyote kukaa faragha na mwanamke wa kando ni jambo ambalo Kishari´ah ni haramu. Haijalishi kitu hata kama ni daktari anayemtibu. Hayo ni kutokana na Hadiyth:
“Mwanamume hakai faragha na mwanamke isipokuwa shaytwaan huwa ni watatu wao.”
Ni lazima aandamane na mwengine pamoja naye. Ni mamoja awe mume wake au mmoja katika Mahram zake wa kiume. Isipowezekana japo mmoja katika ndugu zake wa kike ikiwa hakumpata mmoja katika wale tuliyowataja na wakati huohuo ugonjwa ukawa ni wa khatari usiyoweza kucheleweshwa, basi angalau kwa uchache wahudhurie wauguzi wa kike na mfano wao kwa ajili ya kuzuia faragha iliyokatazwa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/13)
- Imechapishwa: 15/04/2020
Kwa hali yoyote kukaa faragha na mwanamke wa kando ni jambo ambalo Kishari´ah ni haramu. Haijalishi kitu hata kama ni daktari anayemtibu. Hayo ni kutokana na Hadiyth:
“Mwanamume hakai faragha na mwanamke isipokuwa shaytwaan huwa ni watatu wao.”
Ni lazima aandamane na mwengine pamoja naye. Ni mamoja awe mume wake au mmoja katika Mahram zake wa kiume. Isipowezekana japo mmoja katika ndugu zake wa kike ikiwa hakumpata mmoja katika wale tuliyowataja na wakati huohuo ugonjwa ukawa ni wa khatari usiyoweza kucheleweshwa, basi angalau kwa uchache wahudhurie wauguzi wa kike na mfano wao kwa ajili ya kuzuia faragha iliyokatazwa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/13)
Imechapishwa: 15/04/2020
https://firqatunnajia.com/uharamu-wa-daktari-wa-kiume-kukaa-faragha-na-mgonjwa-wa-kike/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)