Swali: Ni yapi makusudio ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakutosimama Qiyaamah mpaka wajitokeze waongo thelathini ambao wote wanadai kuwa ni Mitume.”
Makusudio ni kwamba idadi yao ni thelathini tu au ni zaidi ya hivyo?
Jibu: Idadi yao ni zaidi ya hivyo. Hawa thelathini ni katika wamashuhuri wao. Vinginevyo watajitokeza wengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (12) http://alfawzan.af.org.sa/node/2055
- Imechapishwa: 15/03/2017
Swali: Ni yapi makusudio ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakutosimama Qiyaamah mpaka wajitokeze waongo thelathini ambao wote wanadai kuwa ni Mitume.”
Makusudio ni kwamba idadi yao ni thelathini tu au ni zaidi ya hivyo?
Jibu: Idadi yao ni zaidi ya hivyo. Hawa thelathini ni katika wamashuhuri wao. Vinginevyo watajitokeza wengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (12) http://alfawzan.af.org.sa/node/2055
Imechapishwa: 15/03/2017
https://firqatunnajia.com/ufafanuzi-wa-hadiyth-waongo-thelathini-wenye-kudai-utume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)