Swali: Mwanamke ana watoto wanne ambao kila mmoja ana mama yake. Na yule anayemnyonyesha ndio mtoto wake. Je, watoto hawa wawili huzingatiwa kuwa ni ndugu wa kunyonya pamoja na kutofautiana kwa mama zao?

Jibu: Ndio. Huzingatiwa kuwa ni ndugu wa kunyonya hata kama kila mmoja ana mama yake.

  • Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=12
  • Imechapishwa: 17/02/2018