Swali: Mwanamke ana watoto wanne ambao kila mmoja ana mama yake. Na yule anayemnyonyesha ndio mtoto wake. Je, watoto hawa wawili huzingatiwa kuwa ni ndugu wa kunyonya pamoja na kutofautiana kwa mama zao?
Jibu: Ndio. Huzingatiwa kuwa ni ndugu wa kunyonya hata kama kila mmoja ana mama yake.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=12
- Imechapishwa: 17/02/2018
Swali: Mwanamke ana watoto wanne ambao kila mmoja ana mama yake. Na yule anayemnyonyesha ndio mtoto wake. Je, watoto hawa wawili huzingatiwa kuwa ni ndugu wa kunyonya pamoja na kutofautiana kwa mama zao?
Jibu: Ndio. Huzingatiwa kuwa ni ndugu wa kunyonya hata kama kila mmoja ana mama yake.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=12
Imechapishwa: 17/02/2018
https://firqatunnajia.com/udugu-wa-kunyonya-wa-watoto-wa-mama-tofauti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)