Swali: Ni ipi hukumu kwa mama au wasichana kuvaa suruwali?
Jibu: Msiwazoeze wasichana wadogo kuvaa suruwali. Suruwali inabana. Haisitiri. Ikiwa inasitiri ngozi, haisitiri maumbile. Pengine ikampamba mwanamke zaidi. Fitina katika kuvaa suruwali ni kubwa kuliko kutoivaa. Fitina yake ni kubwa. Kwa kuwa inatoa picha kinyume na uhakika wake. Pengine mwanamke akawa mbaya na asiyetamanika, lakini pale ambapo anavaa suruwali na ikaonesha maumbile yake, wanaume wakadanganyika naye. Wakati angelijua yale yaliyochini yake, asingelimtamani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14330811.mp3
- Imechapishwa: 07/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mama au wasichana kuvaa suruwali?
Jibu: Msiwazoeze wasichana wadogo kuvaa suruwali. Suruwali inabana. Haisitiri. Ikiwa inasitiri ngozi, haisitiri maumbile. Pengine ikampamba mwanamke zaidi. Fitina katika kuvaa suruwali ni kubwa kuliko kutoivaa. Fitina yake ni kubwa. Kwa kuwa inatoa picha kinyume na uhakika wake. Pengine mwanamke akawa mbaya na asiyetamanika, lakini pale ambapo anavaa suruwali na ikaonesha maumbile yake, wanaume wakadanganyika naye. Wakati angelijua yale yaliyochini yake, asingelimtamani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ls–14330811.mp3
Imechapishwa: 07/09/2020
https://firqatunnajia.com/udanganyifu-kwa-mwanamke-kuvaa-suruwali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)