Swali: Ikiwa uchimbaji wa kabla ya kuja Uislamu ni katika masanamu, inafaa kwa mtu akayauza?
Jibu: Anauza picha? Haijuzu. Picha zinatakiwa kuharibiwaharibiwa, masanamu yanatakiwa kuharibiwaharibiwa, na yasiuzwe, kwa sababu ni masanamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 26/04/2021
Swali: Ikiwa uchimbaji wa kabla ya kuja Uislamu ni katika masanamu, inafaa kwa mtu akayauza?
Jibu: Anauza picha? Haijuzu. Picha zinatakiwa kuharibiwaharibiwa, masanamu yanatakiwa kuharibiwaharibiwa, na yasiuzwe, kwa sababu ni masanamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 26/04/2021
https://firqatunnajia.com/uchimbaji-wa-kabla-ya-kuja-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)