Swali: Ni ipi hukumu ya kuangalia uchawi kwenye TV?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo isipokuwa tu kwa yule anyewakemea, kuhakikisha jambo lao na kulipeleka jambo lao mahakamani. Vinginevyo wanaiharibu ´Aqiydah na kumuathiri yule mjinga. Haijuzu kufanya hivi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
- Imechapishwa: 22/07/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuangalia uchawi kwenye TV?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo isipokuwa tu kwa yule anyewakemea, kuhakikisha jambo lao na kulipeleka jambo lao mahakamani. Vinginevyo wanaiharibu ´Aqiydah na kumuathiri yule mjinga. Haijuzu kufanya hivi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
Imechapishwa: 22/07/2017
https://firqatunnajia.com/uchawi-kwenye-tv/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)