Swali: Kuna mwanamke alipata hedhi kisha akajisafisha. Baada ya siku mbili damu ikarudi na ikaendelea kumtoka siku hiyo ambapo hakuswali. Je, kuna kinachomlazimu?
Jibu: Ukitwahirika na ukaona alama za kutwahirika, basi usikae. Damu hii ima ni uchafuchafu au umanjano, vitu ambavyo havizingatiwi. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 26/12/2020
Swali: Kuna mwanamke alipata hedhi kisha akajisafisha. Baada ya siku mbili damu ikarudi na ikaendelea kumtoka siku hiyo ambapo hakuswali. Je, kuna kinachomlazimu?
Jibu: Ukitwahirika na ukaona alama za kutwahirika, basi usikae. Damu hii ima ni uchafuchafu au umanjano, vitu ambavyo havizingatiwi. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 26/12/2020
https://firqatunnajia.com/uchafuchafu-na-umanjano-havizingatiwi-midhali-damu-ya-hedhi-imeshakauka-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)