Swali: Vipi kuhusu Twawaaf-ul-Wadaa´ kwa mwenye kufanya ´Umrah?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba Twawaaf-ul-Wadaa´ kwa mwenye kufanya ´Umrah ni wajibu. Isipokuwa ikiwa mtu anarudi kutoka safari yake papohapo kwa njia ya kwamba ametufu, akafanya Sa´y, akapunguza kisha akapanda gari yake na kurudi. Huyu itamtosha ile Twawaaf ya kwanza. Ama akibaki, japo saa moja tu, basi ni lazima kwake kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´ wakati wa kutoka.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1776
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Vipi kuhusu Twawaaf-ul-Wadaa´ kwa mwenye kufanya ´Umrah?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba Twawaaf-ul-Wadaa´ kwa mwenye kufanya ´Umrah ni wajibu. Isipokuwa ikiwa mtu anarudi kutoka safari yake papohapo kwa njia ya kwamba ametufu, akafanya Sa´y, akapunguza kisha akapanda gari yake na kurudi. Huyu itamtosha ile Twawaaf ya kwanza. Ama akibaki, japo saa moja tu, basi ni lazima kwake kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´ wakati wa kutoka.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1776
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/twawaaf-ul-wadaa-kwa-anayefanya-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)