Swali: Kuna mtu amefanya Twawaaf na Sa´y na mabaki ya manukato katika Ihraam yake ambayo hakuiosha. Je, kitendo chake ni sahihi au ni lazima atoe fidia?
Jibu: Kama alikuwa hajui kuhusu hilo, hakuna kinachomlazimu. Lakini kama alifanya hivo kwa kukusudia ni lazima atoe fidia. Ima achinje kondoo, awalishe masikini sita au afunge siku tatu. Ninachomaanisha ikiwa alijui kuhusu manukato hayo na wala hakuiosha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 14/02/2020
Swali: Kuna mtu amefanya Twawaaf na Sa´y na mabaki ya manukato katika Ihraam yake ambayo hakuiosha. Je, kitendo chake ni sahihi au ni lazima atoe fidia?
Jibu: Kama alikuwa hajui kuhusu hilo, hakuna kinachomlazimu. Lakini kama alifanya hivo kwa kukusudia ni lazima atoe fidia. Ima achinje kondoo, awalishe masikini sita au afunge siku tatu. Ninachomaanisha ikiwa alijui kuhusu manukato hayo na wala hakuiosha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (21) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 14/02/2020
https://firqatunnajia.com/twawaaf-na-say-na-manukato-wakati-wa-ihraam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)