Swali: Je, inafaa kwa ambaye ni muweza kufanya Twawaaf kwenye kiti cha magurudumu?
Jibu: Hakuna neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya Twawaaf hali kukaa juu ya mnyama. Wakati watu waliposongamana kwake, aliketi juu ya mnyama. Alifanya hivo ili watu waweze kumuona na aepuke msongamano. Inafaa kufanya Twawaaf hali ya kukaa, kufanya Sa´y´ hali ya kukaa, juu ya mgongo wa ngami au gari. Hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 12/04/2020
Swali: Je, inafaa kwa ambaye ni muweza kufanya Twawaaf kwenye kiti cha magurudumu?
Jibu: Hakuna neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya Twawaaf hali kukaa juu ya mnyama. Wakati watu waliposongamana kwake, aliketi juu ya mnyama. Alifanya hivo ili watu waweze kumuona na aepuke msongamano. Inafaa kufanya Twawaaf hali ya kukaa, kufanya Sa´y´ hali ya kukaa, juu ya mgongo wa ngami au gari. Hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 12/04/2020
https://firqatunnajia.com/twawaaf-juu-ya-kiti-cha-magurudumu-au-gari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)