Swali: Baadhi ya wale wenye hamasa wanatumia hoja kuwaua makafiri wenye ahadi [kwenye miji ya Waislamu] kwa sababu ndugu zetu Waislamu wanauawa ulimwenguni kote na wanasema kuwa watu hawa ni wapambanaji na hawana ahadi yoyote wala dhimma.
Jibu: Huyu kafiri mwenye ahadi ndiye ambaye amewaua ndugu zetu?
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Na wala mbebaji yeyoye [yule] hatobeba mzigo [wa dhambi wa mtu] mwengine.” (35:18)
Ukimuua yule ambaye amemuua Muislamu, pengine ukapewa nyudhuru fulani. Lakini unamuua mtu asiyekuwa na hatia:
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Na wala mbebaji yeyoye [yule] hatobeba mzigo [wa dhambi wa mtu] mwengine.”
Isitoshe jambo lingine ni kwamba ni haramu kuvunja ahadi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule anayemuua [kafiri] mwenye ahadi, hatonusa harufu ya Pepo.”
Haya ni matishio makali. Haijuzu kuvunja ahadi. Kumekuja matishio makali kuhusu hili. Hili linauchafua Uislamu na Waislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_10.mp3
- Imechapishwa: 26/06/2018
Swali: Baadhi ya wale wenye hamasa wanatumia hoja kuwaua makafiri wenye ahadi [kwenye miji ya Waislamu] kwa sababu ndugu zetu Waislamu wanauawa ulimwenguni kote na wanasema kuwa watu hawa ni wapambanaji na hawana ahadi yoyote wala dhimma.
Jibu: Huyu kafiri mwenye ahadi ndiye ambaye amewaua ndugu zetu?
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Na wala mbebaji yeyoye [yule] hatobeba mzigo [wa dhambi wa mtu] mwengine.” (35:18)
Ukimuua yule ambaye amemuua Muislamu, pengine ukapewa nyudhuru fulani. Lakini unamuua mtu asiyekuwa na hatia:
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
“Na wala mbebaji yeyoye [yule] hatobeba mzigo [wa dhambi wa mtu] mwengine.”
Isitoshe jambo lingine ni kwamba ni haramu kuvunja ahadi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule anayemuua [kafiri] mwenye ahadi, hatonusa harufu ya Pepo.”
Haya ni matishio makali. Haijuzu kuvunja ahadi. Kumekuja matishio makali kuhusu hili. Hili linauchafua Uislamu na Waislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_10.mp3
Imechapishwa: 26/06/2018
https://firqatunnajia.com/tunawaua-makafiri-kwa-kuwa-wanawaua-waislamu-wenzetu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)