Dahliyz nilimuuliza Abu ´Abdillaah kama tunawashuhudilia Pepo wale kumi. Akajibu:
“Tunawashuhudilia. Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mnawashuhudilia kwamba wauliwaji wetu kuwa Peponi.”
Ilikuwa idadi kubwa ya watu. Sa´iyd bin Zayd (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nashuhudilia.”
Sa´iyd bin al-Musayyab amesema:
“Ningemshuhudilia mtu yeyote ambaye yuko hai basi ningemshuhudilia Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa).”
Ndipo nikasema:
“Je, akatwe ambaye anashuhudilia?”
Akasema:
“Unakusudia nini?”
Nikasema:
“Nasema yale yaliyosemwa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lakini hata hivyo nakhitari kutoshuhudilia.”
Akanyamaza.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 11
- Imechapishwa: 19/03/2021
Dahliyz nilimuuliza Abu ´Abdillaah kama tunawashuhudilia Pepo wale kumi. Akajibu:
“Tunawashuhudilia. Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Mnawashuhudilia kwamba wauliwaji wetu kuwa Peponi.”
Ilikuwa idadi kubwa ya watu. Sa´iyd bin Zayd (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nashuhudilia.”
Sa´iyd bin al-Musayyab amesema:
“Ningemshuhudilia mtu yeyote ambaye yuko hai basi ningemshuhudilia Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa).”
Ndipo nikasema:
“Je, akatwe ambaye anashuhudilia?”
Akasema:
“Unakusudia nini?”
Nikasema:
“Nasema yale yaliyosemwa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) lakini hata hivyo nakhitari kutoshuhudilia.”
Akanyamaza.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Abiy Harb al-Jarjaara’iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 11
Imechapishwa: 19/03/2021
https://firqatunnajia.com/tunashuhudilia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)