Swali: Sisi tunaishi katika nchi ambayo inahukumu kwa kanuni za kikafiri. Vipi unatakiwa uwe msimamo wetu kwa watawala hawa? Je, tuwahukumu ukafiri au tuwafanyie uasi?
Jibu: Msiwafanyie uasi kwa vile hatujui udhuru wao. Huenda wakawa na udhuru msiyoujua. Allaah ndiye anajua zaidi. Nchi hiyo ikiwawia dhiki kwenu tokeni na kuhama kwenda nchi nyingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Sisi tunaishi katika nchi ambayo inahukumu kwa kanuni za kikafiri. Vipi unatakiwa uwe msimamo wetu kwa watawala hawa? Je, tuwahukumu ukafiri au tuwafanyie uasi?
Jibu: Msiwafanyie uasi kwa vile hatujui udhuru wao. Huenda wakawa na udhuru msiyoujua. Allaah ndiye anajua zaidi. Nchi hiyo ikiwawia dhiki kwenu tokeni na kuhama kwenda nchi nyingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/tumhukumu-mtawala-ukafiri-au-tumfanyie-uasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)