Swali: Mwenye kusema kuwa tofauti kati ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na Raafidhwah ni katika mambo ya matawi pekee. Ni ipi hukumu ya msemo huo?
Jibu: Hapana, bali ni tofauti katika mambo ya ´Aqiydah. Wana imani juu ya watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kwamba wananufaisha na wanadhuru. Ni kama ambavyo walikuwa wakifanya washirikina wa kale wa Quraysh juu ya al-Laat, al-´Uzzaa, Mitume na waja wengine wema
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 82
- Imechapishwa: 06/07/2019
Swali: Mwenye kusema kuwa tofauti kati ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah na Raafidhwah ni katika mambo ya matawi pekee. Ni ipi hukumu ya msemo huo?
Jibu: Hapana, bali ni tofauti katika mambo ya ´Aqiydah. Wana imani juu ya watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kwamba wananufaisha na wanadhuru. Ni kama ambavyo walikuwa wakifanya washirikina wa kale wa Quraysh juu ya al-Laat, al-´Uzzaa, Mitume na waja wengine wema
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 82
Imechapishwa: 06/07/2019
https://firqatunnajia.com/tofauti-zetu-na-shiyah-ni-katika-mambo-madogomadogo-ya-ki-fiqh-pekee/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)