Maana ya ukale na kuzuka, maana yake kwa mujibu wa Ahl-us-Sunnah ni yale niliyoyataja, kwamba sifa ya maneno Allaah (Ta´ala) anasifika nayo kwenye dhati Yake na kwamba anatamka kwa kutaka na kwa khiyari Yake pindi anapotaka na kwa namna anayoitaka:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖ وَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
“Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona.”[1]
Ama kwa mujibu wa al-Khaliyliy na wahenga wake Mu´tazilah, wao wanapinga sifa ya maneno anayosifika nayo Allaah (Ta´ala) na wanaabiria juu ya kuumbwa kwa Qur-aan kwa tamko “kuzuka”. Anachokusudiwa kwa “kuzuka” ni kuumbwa. Hayo ameyaweka wazi.
[1] 42:11
- Mhusika: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd al-Qawiym, uk. 242
- Imechapishwa: 15/04/2017
Maana ya ukale na kuzuka, maana yake kwa mujibu wa Ahl-us-Sunnah ni yale niliyoyataja, kwamba sifa ya maneno Allaah (Ta´ala) anasifika nayo kwenye dhati Yake na kwamba anatamka kwa kutaka na kwa khiyari Yake pindi anapotaka na kwa namna anayoitaka:
لَيْسَ كَمِثْلِهِ شَيْءٌ ۖ وَهُوَ السَّمِيعُ الْبَصِيرُ
“Hakuna chochote kinachofanana Naye – Naye ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona.”[1]
Ama kwa mujibu wa al-Khaliyliy na wahenga wake Mu´tazilah, wao wanapinga sifa ya maneno anayosifika nayo Allaah (Ta´ala) na wanaabiria juu ya kuumbwa kwa Qur-aan kwa tamko “kuzuka”. Anachokusudiwa kwa “kuzuka” ni kuumbwa. Hayo ameyaweka wazi.
[1] 42:11
Mhusika: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd al-Qawiym, uk. 242
Imechapishwa: 15/04/2017
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-ukale-na-uzukaji-kati-ya-ahl-us-sunnah-na-ibaadhiyyah-inapokuja-katika-maneno-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)