Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba kwa sifa ya Allaah kama kusema “Nakuomba kwa nguvu za Allaah”?
Jibu: Mtu kusema “Najilinda kwa nguvu na uwezo wa Allaah” hakuna neno. Kutaka ulinzi ni kule kuomba kwa majina ya Allaah. Amesema (Ta´ala):
وَلِلَّـهِ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ فَادْعُوهُ بِهَا
”Allaah ana Majina mazuri kabisa, hivyo basi muombeni kwayo.” (07:180)
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 07/04/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba kwa sifa ya Allaah kama kusema “Nakuomba kwa nguvu za Allaah”?
Jibu: Mtu kusema “Najilinda kwa nguvu na uwezo wa Allaah” hakuna neno. Kutaka ulinzi ni kule kuomba kwa majina ya Allaah. Amesema (Ta´ala):
وَلِلَّـهِ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ فَادْعُوهُ بِهَا
”Allaah ana Majina mazuri kabisa, hivyo basi muombeni kwayo.” (07:180)
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 07/04/2019
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-kufanya-tawassul-na-kuomba-majina-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)