Swali: Baadhi ya walioathirika na Khawaarij wanatumia hoja kwa mauaji yao juu ya waislamu Shaam kwamba ni sawa na Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab pindi alipoyavunja masanamu na akahuisha hukumu ya Allaah. Vipi wataraddiwa?
Jibu: Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab hakufanya kitu pasi na mtawala. Alianza kwanza kwa kukataza mambo haya tu. Yalipitika mara ya kwanza baada ya kumpa kiapo mtawala Muhammad bin Su´uud (Rahimahu Allaah). Mtawala ndiye mwenye kufanya mambo kama hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 07/02/2017
Swali: Baadhi ya walioathirika na Khawaarij wanatumia hoja kwa mauaji yao juu ya waislamu Shaam kwamba ni sawa na Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab pindi alipoyavunja masanamu na akahuisha hukumu ya Allaah. Vipi wataraddiwa?
Jibu: Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab hakufanya kitu pasi na mtawala. Alianza kwanza kwa kukataza mambo haya tu. Yalipitika mara ya kwanza baada ya kumpa kiapo mtawala Muhammad bin Su´uud (Rahimahu Allaah). Mtawala ndiye mwenye kufanya mambo kama hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/wasiyah%20nabi-21-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 07/02/2017
https://firqatunnajia.com/tofauti-ya-ibn-abdil-wahhaab-na-isis/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)