Tofauti katika mzunguko wa Ahl-us-Sunnah

Swali: Tofauti ilioko kuhusu hukumu ya ambaye haswali ni tofauti inayozunguka juu ya mzunguko wa Ahl-us-Sunnah?

Jibu: Ndio, ni tofauti inayozunguka juu ya mzunguko wa Ahl-us-Sunnah. Ahl-us-Sunnah wenyewe wanatofautiana kama wanavotofautiana kwa mfano katika masuala ya ambaye amekula nyama ya ngamia analazimika kurudi kutawadha au hapana.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-As-ilah al-Qatwariyyah, uk. 16-17
  • Imechapishwa: 03/02/2019