Swali: Kuna mtu ametenda dhambi kisha anatubu. Lakini anafanya dhambi mara nyingine. Atajikwamua vipi?
Jibu: Kuwa mkweli pamoja na Allaah. Kwa sababu miongoni mwa sharti za tawbah ni kuazimia kutorudi kwenye dhambi hiyo. Ama tawbah yako hii ni tawbah ya waongo na sio tawbah ya wakweli. Kuna tofauti kati ya kutubu kwa mdomo na kutubu kwa moyo. Wewe umetubu kwa mdomo wako lakini hukutubu kwa moyo wako. Dalil ya hilo ni kuwa tawbah haikukuathiri kabisa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
- Imechapishwa: 22/09/2022
Swali: Kuna mtu ametenda dhambi kisha anatubu. Lakini anafanya dhambi mara nyingine. Atajikwamua vipi?
Jibu: Kuwa mkweli pamoja na Allaah. Kwa sababu miongoni mwa sharti za tawbah ni kuazimia kutorudi kwenye dhambi hiyo. Ama tawbah yako hii ni tawbah ya waongo na sio tawbah ya wakweli. Kuna tofauti kati ya kutubu kwa mdomo na kutubu kwa moyo. Wewe umetubu kwa mdomo wako lakini hukutubu kwa moyo wako. Dalil ya hilo ni kuwa tawbah haikukuathiri kabisa.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Swifaat-il-Mu´miniyn https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/s_0.mp3
Imechapishwa: 22/09/2022
https://firqatunnajia.com/tofauti-kati-ya-tawbah-ya-moyo-na-tawbah-ya-mdomo-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)