Wanachuoni wanasema ya kwamba kuna tofauti tatu kati ya damu ya damu ya ugonjwa na hedhi:
1- Damu ya hedhi ni nyeusi tofauti na istihaadhah ambayo ni nyekundu.
2- Damu ya hedhi ni nene tofauti na istihaadhah ambayo ni nyembamba.
3- Damu ya hedhi inanuka tofauti na istihaadhah.
4- Madaktari wa leo wanasema kwamba damu ya hedhi haiwi imara. Inakuwa yaani bila kizuizi tofauti na istihaadhah ambayo inakuwa imara.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath Dhiyl-Jalaal wal-Ikraam (1/406)
- Imechapishwa: 24/09/2020
Wanachuoni wanasema ya kwamba kuna tofauti tatu kati ya damu ya damu ya ugonjwa na hedhi:
1- Damu ya hedhi ni nyeusi tofauti na istihaadhah ambayo ni nyekundu.
2- Damu ya hedhi ni nene tofauti na istihaadhah ambayo ni nyembamba.
3- Damu ya hedhi inanuka tofauti na istihaadhah.
4- Madaktari wa leo wanasema kwamba damu ya hedhi haiwi imara. Inakuwa yaani bila kizuizi tofauti na istihaadhah ambayo inakuwa imara.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fath Dhiyl-Jalaal wal-Ikraam (1/406)
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/tofauti-kati-ya-istihaadhah-na-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)