Swali: Mgonjwa akiswali swalah za faradhi kwa kukaa kwa sababu daktari ndiye kamwandikia hivo anapata sawa na yule mwenye kusimama?
Jibu: Akikaa wakati wa kuswali kwa sababu ya udhuru wa maradhi au daktari ndiye kamwelekeza hivo na kwamba kusimama kunamdhuru, basi anapata thawabu sawa na mwenye kusimama. Kwa sababu ameacha kusimama kwa sababu ya udhuru. Kwa hivyo anapata thawabu sawa na mwenye kusimama.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/09-03-1436.mp3
- Imechapishwa: 03/12/2017
Swali: Mgonjwa akiswali swalah za faradhi kwa kukaa kwa sababu daktari ndiye kamwandikia hivo anapata sawa na yule mwenye kusimama?
Jibu: Akikaa wakati wa kuswali kwa sababu ya udhuru wa maradhi au daktari ndiye kamwelekeza hivo na kwamba kusimama kunamdhuru, basi anapata thawabu sawa na mwenye kusimama. Kwa sababu ameacha kusimama kwa sababu ya udhuru. Kwa hivyo anapata thawabu sawa na mwenye kusimama.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/09-03-1436.mp3
Imechapishwa: 03/12/2017
https://firqatunnajia.com/thawabu-za-mgonjwa-anayeswali-kwa-kukaa-ni-sawa-na-mwenye-kusimama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)