Swali: Katika Tayammum kumeshurutishwa kupangilia na kufuatanisha mbiombio?
Jibu: Ndio. Imeshurutishwa aanze kupangusa uso wake kisha vitanga vyake vya mikono. Hivyo ndivyo alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa akimfunza ´Ammaar; alianza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kupangusa uso wake kisha vitanga vyake vya mikono.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 23/03/2017
Swali: Katika Tayammum kumeshurutishwa kupangilia na kufuatanisha mbiombio?
Jibu: Ndio. Imeshurutishwa aanze kupangusa uso wake kisha vitanga vyake vya mikono. Hivyo ndivyo alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa akimfunza ´Ammaar; alianza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kupangusa uso wake kisha vitanga vyake vya mikono.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 23/03/2017
https://firqatunnajia.com/tayammum-mtu-anatakiwa-kufanya-kwa-mpangilio-na-kwa-kufuatanisha-mbiombio-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)