Swali: Suufiyyah wanatumia hoja kwa Hadiyth kuhusu Malaika wawili wanapomuhoji mtu ndani ya kaburi kwa kumuuliza “Ni nani Mola Wako?” ya kwamba Tawhiyd inayotakikana ni Tawhiyr-ur-Rubuubiyyah. Vipi mtu atajibu hili?
Jibu: Ametakasika Allaah. Ni kwa nini ameacha “Ni ipi dini yako?” Hii ndio Tawhiyd. Ni nani Mola Wako na ni ipi dini yako. Hii ndio maana ya nashuhudia ya kwamba hakuna muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah. Anachukua sehemu ya maneno na kuacha mengine?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2122
- Imechapishwa: 02/07/2020
Swali: Suufiyyah wanatumia hoja kwa Hadiyth kuhusu Malaika wawili wanapomuhoji mtu ndani ya kaburi kwa kumuuliza “Ni nani Mola Wako?” ya kwamba Tawhiyd inayotakikana ni Tawhiyr-ur-Rubuubiyyah. Vipi mtu atajibu hili?
Jibu: Ametakasika Allaah. Ni kwa nini ameacha “Ni ipi dini yako?” Hii ndio Tawhiyd. Ni nani Mola Wako na ni ipi dini yako. Hii ndio maana ya nashuhudia ya kwamba hakuna muabudiwa wa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah. Anachukua sehemu ya maneno na kuacha mengine?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2122
Imechapishwa: 02/07/2020
https://firqatunnajia.com/tawhiyd-itayoulizwa-ndani-ya-kaburi-ni-rubuubiyyah-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)