Tawbah ya mwenye kufanya mzaha na dini haikubaliwi?

Swali: Je, mwenye kufanya utani na dini tawbah yake haikubaliwi? Ni ipi maana ya maneno Yake (Ta´ala):

لَا تَعْتَذِرُوا قَدْ كَفَرْتُم بَعْدَ إِيمَانِكُمْ

“Msitoe udhuru; kwani mmekwishakufuru baada ya kuamini kwenu.”[1]

Jibu: Udhahiri wa Aayah ni kwamba tawbah yake haikubaliwi. Kwa ajili hiyo wanachuoni wamesema kuwa haikubaliwi tawbah ya mtu ambaye amemtukana Allaah au Mtume (Swlala Allaahu ´aalyhi wa sallam). Anatakiwa kuuawa. Tawbah yake haikubaliwi.

[1] Tamko la kisa hiki kimepokelewa Ibn Abiy Haatim (10046), Ibn Jariyr katika “Tafsiyr yake” (10/195-196). Ameipokea kwa njia ya Mawsuulah na Mursalah zinazopeana nguvu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (06)
  • Imechapishwa: 29/12/2018