Swali: Huku kwetu baada ya kila Rak´ah [mbili] za Tarawiyh wanamsabihi Allaah kwa njia maalum kama kusema:
سبحان ذا الملك والملكوت، سبحان ذا العزة والعظمة والجبروت
“Ametakasika kutokamana na mapungufu Mwenye utawala, ufalme, ukubwa na utukufu.”
Ni upi sahihi wa hayo?
Jibu: Haisihi ikiwa wanafanya hivo kwa sauti ya juu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/حكم-التسبيح-بعد-كل-ركعة-في-التراويح
- Imechapishwa: 12/06/2022
Swali: Huku kwetu baada ya kila Rak´ah [mbili] za Tarawiyh wanamsabihi Allaah kwa njia maalum kama kusema:
سبحان ذا الملك والملكوت، سبحان ذا العزة والعظمة والجبروت
“Ametakasika kutokamana na mapungufu Mwenye utawala, ufalme, ukubwa na utukufu.”
Ni upi sahihi wa hayo?
Jibu: Haisihi ikiwa wanafanya hivo kwa sauti ya juu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/حكم-التسبيح-بعد-كل-ركعة-في-التراويح
Imechapishwa: 12/06/2022
https://firqatunnajia.com/tasbiyh-kwa-sauti-ya-juu-baada-ya-kila-rakah-mbili-za-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)