Swali: Je, inajuzu kununua tamtam zinazoitwa “tamtam za mazazi ya Mtume”? Wakizinunua baadhi ya watu kimakosa inafaa kwangu kuzila?
Jibu: Hapana. Chakula kinachofanywa kwa ajili ya kusimamisha Bid´ah usikile. Ni pesa isiyokuwa nzuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
- Imechapishwa: 17/05/2019
Swali: Je, inajuzu kununua tamtam zinazoitwa “tamtam za mazazi ya Mtume”? Wakizinunua baadhi ya watu kimakosa inafaa kwangu kuzila?
Jibu: Hapana. Chakula kinachofanywa kwa ajili ya kusimamisha Bid´ah usikile. Ni pesa isiyokuwa nzuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (98) https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18006
Imechapishwa: 17/05/2019
https://firqatunnajia.com/tamtam-kwa-ajili-ya-mazazi-ya-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)