Swali: Mume akipitisha talaka katika moja ya serikali za magharibi kwa njia ya makaratasi peke yake pasi na talaka ya Kishari´ah ambayo kwa mujibu wao huita ´talaka ya kiinchi`. Je, talaka hii inapita?
Jibu: Ndio. Akitamka talaka inapita. Akitamka talaka au akaiandika inapita. Isipokuwa ikiwa kama amelazimishwa juu ya talaka hiyo hapo haipiti. Kadhalika haipiti talaka katika hali ya kutokwa na akili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2018
Swali: Mume akipitisha talaka katika moja ya serikali za magharibi kwa njia ya makaratasi peke yake pasi na talaka ya Kishari´ah ambayo kwa mujibu wao huita ´talaka ya kiinchi`. Je, talaka hii inapita?
Jibu: Ndio. Akitamka talaka inapita. Akitamka talaka au akaiandika inapita. Isipokuwa ikiwa kama amelazimishwa juu ya talaka hiyo hapo haipiti. Kadhalika haipiti talaka katika hali ya kutokwa na akili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-3-7-1439.mp3
Imechapishwa: 11/11/2018
https://firqatunnajia.com/talaka-za-kuandikiana-magharibini-zinahesabika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)