Swali: Mimi ni mtu ambaye niko mbali na mke wangu na nimepewa mtihani wa kujitoa manii. Pindi nilipotaka kuachana na tendo hilo nikasema: “Nikirudi tena mke wangu nitakuwa nimemtaliki” na nikakusudia Talaka. Je, mke wangu atakuwa ametalikika kwa hilo?
Jibu: Hili linahitajia uje katika (Daar) al-Iftaah na litazamwe vizuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10074
- Imechapishwa: 14/02/2018
Swali: Mimi ni mtu ambaye niko mbali na mke wangu na nimepewa mtihani wa kujitoa manii. Pindi nilipotaka kuachana na tendo hilo nikasema: “Nikirudi tena mke wangu nitakuwa nimemtaliki” na nikakusudia Talaka. Je, mke wangu atakuwa ametalikika kwa hilo?
Jibu: Hili linahitajia uje katika (Daar) al-Iftaah na litazamwe vizuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10074
Imechapishwa: 14/02/2018
https://firqatunnajia.com/talaka-ya-matamshi-ya-kinaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)