Swali: Ikiwa ni Talaka rejea, je ni lazima kwa mke kumuomba idhini mume wake wakati anapotaka kutoka katika haja zake au na familia yake? Na kama hakufanya hivyo, ni ipi hukumu?
Jibu: Ndio. Maadamu yuko ndani ya eda na ni Talaka rejea, bado ni mume wake. Asitoke isipokuwa kwa idhini yake, kwa kuwa bado ni mume wake. Hivyo, asitoke isipokuwa mpaka kwa idhini yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10029
- Imechapishwa: 14/02/2018
Swali: Ikiwa ni Talaka rejea, je ni lazima kwa mke kumuomba idhini mume wake wakati anapotaka kutoka katika haja zake au na familia yake? Na kama hakufanya hivyo, ni ipi hukumu?
Jibu: Ndio. Maadamu yuko ndani ya eda na ni Talaka rejea, bado ni mume wake. Asitoke isipokuwa kwa idhini yake, kwa kuwa bado ni mume wake. Hivyo, asitoke isipokuwa mpaka kwa idhini yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: www.alfawzan.af.org.sa/node/10029
Imechapishwa: 14/02/2018
https://firqatunnajia.com/talaka-rejea-ndani-ya-eda-ni-wajibu-kuomba-idhini-kabla-ya-kutoka-nje/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)