Swali: Ikiwa Ashaa´irah wanasema kuwa Allaah (´Azza wa Jalla) Hazungumzi kwa sauti wala herufi, wanapinga Sifa za Allaah (´Azza wa Jalla), wanasema kuwa Allaah Yuko kila mahala na mengineyo katika ´Aqiydah zao mbovu. Je, wanakuwa ni makafiri kwa hayo?
Jibu: Wanafuata kichwa mchunga na wanaweka taawili. Hawapachikwi kufuru. Lakini wanapachikwa upotevu. Wanapachikwa ya kwamba ni wapotevu kwa kuwa wanaweza kuwa wanafuata kichwa mchunga au wajinga wanafuata yale waliyowakuta wengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ikiwa Ashaa´irah wanasema kuwa Allaah (´Azza wa Jalla) Hazungumzi kwa sauti wala herufi, wanapinga Sifa za Allaah (´Azza wa Jalla), wanasema kuwa Allaah Yuko kila mahala na mengineyo katika ´Aqiydah zao mbovu. Je, wanakuwa ni makafiri kwa hayo?
Jibu: Wanafuata kichwa mchunga na wanaweka taawili. Hawapachikwi kufuru. Lakini wanapachikwa upotevu. Wanapachikwa ya kwamba ni wapotevu kwa kuwa wanaweza kuwa wanafuata kichwa mchunga au wajinga wanafuata yale waliyowakuta wengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/takfiyr-kwa-ashaairah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)