Swali: Nikiashiria kwa mtu binafsi ambaye anamtukana mama ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anha) na kusema kwamba ni kafiri na ni mnafiki, je, kitendo hichi kinajuzu au ni katika kupetuka mipaka?
Jibu: Hii ndio hukumu yake. Lakini ikiwa katika kutangaza hilo kutapatikana madhara, basi usiseme hili wazi wazi kwa kuzuia fitina:
وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ فَيَسُبُّوا اللَّـهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ |
“Na wala msiwatukane wale wanaowaomba asiyekuwa Allaah; wasije (nao) kumtukana Allaah kwa uadui bila ya kujua.” (06:108) |
Isitoshe ikiwa katika kufanya hivi unaeneza uchafu huu, haijuzu kufanya hivi. Badala yake achana naye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Nikiashiria kwa mtu binafsi ambaye anamtukana mama ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anha) na kusema kwamba ni kafiri na ni mnafiki, je, kitendo hichi kinajuzu au ni katika kupetuka mipaka?
Jibu: Hii ndio hukumu yake. Lakini ikiwa katika kutangaza hilo kutapatikana madhara, basi usiseme hili wazi wazi kwa kuzuia fitina:
وَلَا تَسُبُّوا الَّذِينَ يَدْعُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ فَيَسُبُّوا اللَّـهَ عَدْوًا بِغَيْرِ عِلْمٍ
“Na wala msiwatukane wale wanaowaomba asiyekuwa Allaah; wasije (nao) kumtukana Allaah kwa uadui bila ya kujua.” (06:108)
Isitoshe ikiwa katika kufanya hivi unaeneza uchafu huu, haijuzu kufanya hivi. Badala yake achana naye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/takfiyr-kwa-anayemtuhumu-aaishah-radhiya-allaahu-anha-uzinzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)