Swali: Wako watu ambao wanasema:
“Allaahu Akbar.”
baada tu ya kutoa Tasliym ya swalah kabla ya kuleta Istighfaar. Je, hili ni jambo limewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hapana. Haikuwekwa katika Shari´ah kuleta Takbiyr baada ya kutoa salamu ya swalah. Kilichowekwa katika Shari´ah ni kumdhukuru Allaah kwa kuleta “Tamhiyd, “Tahliyl” na “Tasbiyh”. Haya ndio yaliyopokelewa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 18/09/2018
Swali: Wako watu ambao wanasema:
“Allaahu Akbar.”
baada tu ya kutoa Tasliym ya swalah kabla ya kuleta Istighfaar. Je, hili ni jambo limewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hapana. Haikuwekwa katika Shari´ah kuleta Takbiyr baada ya kutoa salamu ya swalah. Kilichowekwa katika Shari´ah ni kumdhukuru Allaah kwa kuleta “Tamhiyd, “Tahliyl” na “Tasbiyh”. Haya ndio yaliyopokelewa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 18/09/2018
https://firqatunnajia.com/takbiyr-baada-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)