Swali: Miaka iliyopita niliacha kufunga masiku kadhaa ya Ramadhaan. Sijui ni masiku mangapi yaliyonipita. Ni kipi kinachonilazimu sasa pamoja na kuzingatia ya kwamba sikuwa mtu wa dini na nilikuwa naswali wakati fulani tu?
Jibu: Swawm yako si sahihi ikiwa ulikuwa mwenye kuacha swalah. Ni wajibu kwako kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) na kuichunga dini yako katika mustakabali wa maisha yako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 29/06/2018
Swali: Miaka iliyopita niliacha kufunga masiku kadhaa ya Ramadhaan. Sijui ni masiku mangapi yaliyonipita. Ni kipi kinachonilazimu sasa pamoja na kuzingatia ya kwamba sikuwa mtu wa dini na nilikuwa naswali wakati fulani tu?
Jibu: Swawm yako si sahihi ikiwa ulikuwa mwenye kuacha swalah. Ni wajibu kwako kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) na kuichunga dini yako katika mustakabali wa maisha yako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 29/06/2018
https://firqatunnajia.com/swawm-yako-haikuwa-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)