Swali: Inajuzu katika funga ya sunnah mfungaji kula wakati anapotaka?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kufanya hivo. Lakini bora ni yeye kukamilisha swawm yake. Isipokuwa kukiwa kuna haja ya kuikata kama vile kumkirimu mgeni, jua kali na mfano wa hayo. Kwa sababu imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kupitia kwa ´Aaishah yanayofahamisha yale tuliyoyataja.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/420-421)
- Imechapishwa: 09/06/2018
Swali: Inajuzu katika funga ya sunnah mfungaji kula wakati anapotaka?
Jibu: Ndio, inafaa kwake kufanya hivo. Lakini bora ni yeye kukamilisha swawm yake. Isipokuwa kukiwa kuna haja ya kuikata kama vile kumkirimu mgeni, jua kali na mfano wa hayo. Kwa sababu imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kupitia kwa ´Aaishah yanayofahamisha yale tuliyoyataja.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/420-421)
Imechapishwa: 09/06/2018
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-sunnah-inafaa-kwa-mfungaji-kufungua-akitaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)