Swali: Kuna mwanamke Ramadhaan ilimfikia akiwa mjamzito katika mwezi wa tisa. Mwanzoni mwa mwezi alikuwa akitokwa na maji na sio damu. Alikuwa akifunga wakati maji hayo yanamtoka. Haya yalitokea miaka kumi iliyopita. Je, ni wajibu kwa mwanamke huyu kulipa siku hizi pamoja na kujua ya kwamba alifunga masiku haya na maji yakimtoka?
Jibu: Mambo yakiwa kama yalivyotajwa swawm yake ni sahihi na wala hana juu yake kulipa.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/221)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Kuna mwanamke Ramadhaan ilimfikia akiwa mjamzito katika mwezi wa tisa. Mwanzoni mwa mwezi alikuwa akitokwa na maji na sio damu. Alikuwa akifunga wakati maji hayo yanamtoka. Haya yalitokea miaka kumi iliyopita. Je, ni wajibu kwa mwanamke huyu kulipa siku hizi pamoja na kujua ya kwamba alifunga masiku haya na maji yakimtoka?
Jibu: Mambo yakiwa kama yalivyotajwa swawm yake ni sahihi na wala hana juu yake kulipa.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/221)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-mjamzito-anayetokwa-na-majimaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)