Swali: Swawm za wenye kuumikwa hii leo zinaharibika ikiwa wanatumia vifaa vya kisasa visivyonya damu?
Jibu: Hadiyth itabaki kama jinsi ilivyopokelewa. Kuharibika kwa swawm kwa sababu ametoa damu nje ni maelezo tu, kuna uwezekano ikawa si sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa salalm) amesema:
“Amevunja swawm mwenye kufanya chuku na mwenye kufanyiwa.”[1]
Kwa hiyo na sisi pia tunasema kuwa swawm ya aliyefanya chuku na aliyefanyiwa imeharibika.
[1] Abu Daawuud (2367), at-Tirmidhiy (774), Ibn Maajah (1679) na Ahmad (15866). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (931).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
- Imechapishwa: 08/12/2019
Swali: Swawm za wenye kuumikwa hii leo zinaharibika ikiwa wanatumia vifaa vya kisasa visivyonya damu?
Jibu: Hadiyth itabaki kama jinsi ilivyopokelewa. Kuharibika kwa swawm kwa sababu ametoa damu nje ni maelezo tu, kuna uwezekano ikawa si sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa salalm) amesema:
“Amevunja swawm mwenye kufanya chuku na mwenye kufanyiwa.”[1]
Kwa hiyo na sisi pia tunasema kuwa swawm ya aliyefanya chuku na aliyefanyiwa imeharibika.
[1] Abu Daawuud (2367), at-Tirmidhiy (774), Ibn Maajah (1679) na Ahmad (15866). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (931).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
Imechapishwa: 08/12/2019
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-mfanyaji-chuku-inaharibika-kwa-hali-zote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)