Swali: Nasumbuliwa na kutokwa na manii katika siku za mchana wa Ramadhaan bila ya kuota wala kujichukua sehemu ya siri. Je, mambo haya yana taathira yoyote juu ya swawm?
Jibu: Ikiwa mambo ni kama ulivotaja basi kutokwa kwako na manii bila ya ladha mchana wa Ramadhaan hakuathiri swawm yako na wala huhitajii kulipa.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (10645)
- Imechapishwa: 26/04/2020
Swali: Nasumbuliwa na kutokwa na manii katika siku za mchana wa Ramadhaan bila ya kuota wala kujichukua sehemu ya siri. Je, mambo haya yana taathira yoyote juu ya swawm?
Jibu: Ikiwa mambo ni kama ulivotaja basi kutokwa kwako na manii bila ya ladha mchana wa Ramadhaan hakuathiri swawm yako na wala huhitajii kulipa.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (10645)
Imechapishwa: 26/04/2020
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-ambaye-ana-ugonjwa-wa-kutokwa-na-manii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)