Swali: Je, swawm ya mtu mwenye kulala katika masiku ya Ramadhaan baada ya kula daku kisha akaswali swalah ya alfajiri na akalala mpaka wakati wa adhuhuri kisha akaswali na akalalala mpaka wakati wa alasiri kisha akaswali na akalala mpaka wakati wa kufungua inasihi?
Jibu: Mambo yakiwa kama yalivyotajwa swawm ni sahihi. Lakini mfungaji kuendelea analala sehemu kubwa ya mchana ni kuzembea na khaswa khaswa katika mwezi wa Ramadhaan ambapo ni zama tukufu ambapo muislamu alitakiwa kufaidika katika mambo yatayomnufaisha katika kusoma Qur-aan kwa wingi, kutafuta riziki na kujifunza elimu.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/302)
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Je, swawm ya mtu mwenye kulala katika masiku ya Ramadhaan baada ya kula daku kisha akaswali swalah ya alfajiri na akalala mpaka wakati wa adhuhuri kisha akaswali na akalalala mpaka wakati wa alasiri kisha akaswali na akalala mpaka wakati wa kufungua inasihi?
Jibu: Mambo yakiwa kama yalivyotajwa swawm ni sahihi. Lakini mfungaji kuendelea analala sehemu kubwa ya mchana ni kuzembea na khaswa khaswa katika mwezi wa Ramadhaan ambapo ni zama tukufu ambapo muislamu alitakiwa kufaidika katika mambo yatayomnufaisha katika kusoma Qur-aan kwa wingi, kutafuta riziki na kujifunza elimu.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/302)
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-ambaye-ameshinda-mchana-mzima-analala-inasihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)