Swalah za sunnah zisizofungana baada ya adhaana ya Fajr

Swali: Je, inajuzu kuswali swalah za naafilah zisizofungana kati ya adhaana na iqaamah baada ya adhaana ya Fajr?

Jibu: Ndio. Akitaka mtu kuswali Tahiyyat-ul-Masjid kisha ndio aswali Sunnah ya Fajr ni sawa. Akitosheka na Sunnah ya Fajr na asiswali Tahiyyat-ul-Masjid inatosha. Yote mawili yanafaa.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (01) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=190884#219018
  • Imechapishwa: 03/01/2018