Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali swalah za mikusanyiko miwili katika msikiti mmoja?
Jibu: Haiafai kuswali swalah za mikusanyiko miwili kwa wakati mmoja na katika msikiti mmoja. Lakini kama swalah ya mkusanyiko ya kwanza imempita mtu na wakaja watu wengine na kutaka kusimamisha nyingine, hakuna neno kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 29/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali swalah za mikusanyiko miwili katika msikiti mmoja?
Jibu: Haiafai kuswali swalah za mikusanyiko miwili kwa wakati mmoja na katika msikiti mmoja. Lakini kama swalah ya mkusanyiko ya kwanza imempita mtu na wakaja watu wengine na kutaka kusimamisha nyingine, hakuna neno kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 29/06/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-za-mikusanyiko-miwili-wakati-mmoja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)