Swali: Mimi namiliki mgahawa na nina wapishi watatu. Wakienda kuswali msikitini kuna khatari chakula kikaungua. Je, wanaweza kuswali swalah ya mkusanyiko jikoni?
Jibu: Ndio. Ikiwa chakula kinaungua waswali kwenye mgahawa kwa ajili ya kukihifadhi chakula. Haijuzu kuharibu chakula na kuwaachia wezi, kikaungua au kikapotea. Huu ni udhuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 02/12/2016
Swali: Mimi namiliki mgahawa na nina wapishi watatu. Wakienda kuswali msikitini kuna khatari chakula kikaungua. Je, wanaweza kuswali swalah ya mkusanyiko jikoni?
Jibu: Ndio. Ikiwa chakula kinaungua waswali kwenye mgahawa kwa ajili ya kukihifadhi chakula. Haijuzu kuharibu chakula na kuwaachia wezi, kikaungua au kikapotea. Huu ni udhuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 02/12/2016
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-wapishi-kwenye-mgahawa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)