Swali: Kuna wanawake walioko kwenye bustani mbele ya msikiti wanaswali pamoja na imamu. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu. Wakumbusheni. Swalah yao si sahihi. Swalah mbele ya imamu si sahihi. Wanatakiwa waswali nyuma ya imamu. Haifai kwao kuswali mbele ya imamu na kusimama katikati ya imamu na Ka´bah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 29/05/2018
Swali: Kuna wanawake walioko kwenye bustani mbele ya msikiti wanaswali pamoja na imamu. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu. Wakumbusheni. Swalah yao si sahihi. Swalah mbele ya imamu si sahihi. Wanatakiwa waswali nyuma ya imamu. Haifai kwao kuswali mbele ya imamu na kusimama katikati ya imamu na Ka´bah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 29/05/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-wanawake-wakiwa-mbele-ya-imamu-si-sahihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)